1. SOMA SENTENSEI HIZI KWA UFASHA
1. Baba amenunua papa
2. Dada amekuwa na utata katika kusoma Kiswahili
3. Mzee mwenye tai anadai atatoa doa sugu
2. Jibu salamu hizi
1. Hujambo ____________________________
2. Habari _____________________________
3. Shikamoo ______________________________
3. Unda maneno kutokana na silabi hizi
1. Ba _____________________________
2. Ku ______________________________
3. Gu__________________________________
4. ANDIKA WINGI WA SENTENSI HIZI
1. Mtoto anacheza ___________________________________
2. Mti umekatwa _________________________________
3. Kiatu hiki ni kizuri ____________________________________
4. Mtoto ameenda kucheza. _____________________________________
5. Mwalimu amemwita msichana. ______________________________________
6. Mwizi aliiba kitabu. __________________________________________
7. Mkulima amenunua kitunguu. _________________________________________
8. Mpira umepasuka. ___________________________________________
Vocabulary on parts of the Body, Body hygiene and several practice questions /
Msamiati wa sehemu za mwili, usafi wa mwili na maswali ya mazoezi
,Page 2 of 33
5. Tumia kimilikishi – ake ipasavyo
1. Kiatu ________________ kimeraruka.
2. Mwalimu __________ ameenda darasani.
3. Mtoto analilia kalamu _______________
4. Gari _________________ limeanguka.
5. Nyumba _______________ imebomoka.
6. Chagua neno sahihi kujaza pengo
(JUU YA, VYEMA, DARASANI, SISI, MNO, JUZI)
_______________1__baada ya gwaride. Bwana Salim aliingia _______________2_. Alikuwa amefurahi
_______________3_ . Aliziweka karatasi za mtihani _______________4_meza. ____________5
___________ sote tulijua kuwa tulikuwa tumefanya _______________6_ katika mtihani huo.
7 Chora paka rangi vifaa vya usafi unavyovijua
Vocabulary on parts of the Body, Body hygiene and several practice questions /
Msamiati wa sehemu za mwili, usafi wa mwili na maswali ya mazoezi
,Page 3 of 33
8 Jaza nafasi kwa jibu sahihi (alama 5)
Kila ______________1_ anafaa kufanya usafi wa ______________2__. Kila asubuhi,ni ______________3
kupiga _______________4_ meno ili kuzuia harufu mbaya. Kucha pia zinafaa _____________5__ ili
zibaki safi kila wakati.
(Vizuri, mwili, zikatwe, mtu, mswaki, deki)
9 Kusikiliza na kusoma
1. Kizingiti 2. Tumbuu 3. Globu
4. Tendegu 5. Kochi 6. Kinu
7. Mchi 8. Dari 9. Balbu/ glopu/ globu
10. Sebueni 11. Ufunguo 12. meza
10 Taja Wanyama watano wanaofugwa nyumbani
11 Tumia viwakilishi “mimi, sisis, wewe, au wao kujaza pengo
Vocabulary on parts of the Body, Body hygiene and several practice questions /
Msamiati wa sehemu za mwili, usafi wa mwili na maswali ya mazoezi
, Page 4 of 33
1. _____________________ unapenda somo lipi?
2. _______________________ninasoma hadithi fupi.
3. _______________________utaniletea maziwa kesho?
4. _________________________tunakariri mashairi darasani.
5. _________________________ walikula chakula kitamu jana.
12 Kamilisha sentensi
1. ___________________________ huendesha gari
2. ___________________________huwatibu wagonjwa
3. ____________________________huendesha ndege
13 Weka alama(!),(?)au(.)mwishoni mwa sentensi hizi.
1. Je,wanafunzi walizuru mbuga gani_________
2. Kwa nini unapenda Kiswahili______________
3. Mama alininunulia kalamu,kitabu na wino____
14 Tumia vimilikishi ifaavyo kujaza pengo
1. Kiatu________________kimeharibika. (changu,yangu)
2. Mwalimu________________ananipenda. (yangu,wangu)
3. Chumba____________nikizuri. (yetu,chetu)
4. Gari___________limeegeshwa. (letu,yetu)
Vocabulary on parts of the Body, Body hygiene and several practice questions /
Msamiati wa sehemu za mwili, usafi wa mwili na maswali ya mazoezi