Geschreven door studenten die geslaagd zijn Direct beschikbaar na je betaling Online lezen of als PDF Verkeerd document? Gratis ruilen 4,6 TrustPilot
logo-home
College aantekeningen

Class notes Kiswahili notes body parts and body hygiene

Beoordeling
-
Verkocht
-
Pagina's
33
Geüpload op
27-11-2022
Geschreven in
2022/2023

These notes are beneficial for those learning Swahili, especially at the intermediate level. This document is very beneficial for practicing Swahili, which will help you learn more Swahili. To make learning enjoyable, the document was loaded with images.

Meer zien Lees minder
Instelling
Vak

Voorbeeld van de inhoud

Page 1 of 33


1. SOMA SENTENSEI HIZI KWA UFASHA

1. Baba amenunua papa

2. Dada amekuwa na utata katika kusoma Kiswahili

3. Mzee mwenye tai anadai atatoa doa sugu


2. Jibu salamu hizi
1. Hujambo ____________________________
2. Habari _____________________________
3. Shikamoo ______________________________


3. Unda maneno kutokana na silabi hizi

1. Ba _____________________________

2. Ku ______________________________

3. Gu__________________________________




4. ANDIKA WINGI WA SENTENSI HIZI


1. Mtoto anacheza ___________________________________

2. Mti umekatwa _________________________________

3. Kiatu hiki ni kizuri ____________________________________

4. Mtoto ameenda kucheza. _____________________________________

5. Mwalimu amemwita msichana. ______________________________________

6. Mwizi aliiba kitabu. __________________________________________

7. Mkulima amenunua kitunguu. _________________________________________

8. Mpira umepasuka. ___________________________________________
Vocabulary on parts of the Body, Body hygiene and several practice questions /
Msamiati wa sehemu za mwili, usafi wa mwili na maswali ya mazoezi

,Page 2 of 33




5. Tumia kimilikishi – ake ipasavyo

1. Kiatu ________________ kimeraruka.

2. Mwalimu __________ ameenda darasani.

3. Mtoto analilia kalamu _______________

4. Gari _________________ limeanguka.

5. Nyumba _______________ imebomoka.


6. Chagua neno sahihi kujaza pengo

(JUU YA, VYEMA, DARASANI, SISI, MNO, JUZI)


_______________1__baada ya gwaride. Bwana Salim aliingia _______________2_. Alikuwa amefurahi

_______________3_ . Aliziweka karatasi za mtihani _______________4_meza. ____________5

___________ sote tulijua kuwa tulikuwa tumefanya _______________6_ katika mtihani huo.




7 Chora paka rangi vifaa vya usafi unavyovijua




Vocabulary on parts of the Body, Body hygiene and several practice questions /
Msamiati wa sehemu za mwili, usafi wa mwili na maswali ya mazoezi

,Page 3 of 33


8 Jaza nafasi kwa jibu sahihi (alama 5)
Kila ______________1_ anafaa kufanya usafi wa ______________2__. Kila asubuhi,ni ______________3
kupiga _______________4_ meno ili kuzuia harufu mbaya. Kucha pia zinafaa _____________5__ ili
zibaki safi kila wakati.

(Vizuri, mwili, zikatwe, mtu, mswaki, deki)



9 Kusikiliza na kusoma


1. Kizingiti 2. Tumbuu 3. Globu

4. Tendegu 5. Kochi 6. Kinu

7. Mchi 8. Dari 9. Balbu/ glopu/ globu

10. Sebueni 11. Ufunguo 12. meza




10 Taja Wanyama watano wanaofugwa nyumbani




11 Tumia viwakilishi “mimi, sisis, wewe, au wao kujaza pengo

Vocabulary on parts of the Body, Body hygiene and several practice questions /
Msamiati wa sehemu za mwili, usafi wa mwili na maswali ya mazoezi

, Page 4 of 33


1. _____________________ unapenda somo lipi?

2. _______________________ninasoma hadithi fupi.

3. _______________________utaniletea maziwa kesho?

4. _________________________tunakariri mashairi darasani.

5. _________________________ walikula chakula kitamu jana.

12 Kamilisha sentensi

1. ___________________________ huendesha gari

2. ___________________________huwatibu wagonjwa

3. ____________________________huendesha ndege




13 Weka alama(!),(?)au(.)mwishoni mwa sentensi hizi.


1. Je,wanafunzi walizuru mbuga gani_________

2. Kwa nini unapenda Kiswahili______________

3. Mama alininunulia kalamu,kitabu na wino____




14 Tumia vimilikishi ifaavyo kujaza pengo
1. Kiatu________________kimeharibika. (changu,yangu)

2. Mwalimu________________ananipenda. (yangu,wangu)

3. Chumba____________nikizuri. (yetu,chetu)

4. Gari___________limeegeshwa. (letu,yetu)




Vocabulary on parts of the Body, Body hygiene and several practice questions /
Msamiati wa sehemu za mwili, usafi wa mwili na maswali ya mazoezi

Geschreven voor

Vak

Documentinformatie

Geüpload op
27 november 2022
Aantal pagina's
33
Geschreven in
2022/2023
Type
College aantekeningen
Docent(en)
Teacher debrah
Bevat
Alle colleges

Onderwerpen

$10.99
Krijg toegang tot het volledige document:

Verkeerd document? Gratis ruilen Binnen 14 dagen na aankoop en voor het downloaden kun je een ander document kiezen. Je kunt het bedrag gewoon opnieuw besteden.
Geschreven door studenten die geslaagd zijn
Direct beschikbaar na je betaling
Online lezen of als PDF

Maak kennis met de verkoper
Seller avatar
Mnyazi

Maak kennis met de verkoper

Seller avatar
Mnyazi Freelancer
Volgen Je moet ingelogd zijn om studenten of vakken te kunnen volgen
Verkocht
-
Lid sinds
4 jaar
Aantal volgers
0
Documenten
119
Laatst verkocht
-

0.0

0 beoordelingen

5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

Recent door jou bekeken

Waarom studenten kiezen voor Stuvia

Gemaakt door medestudenten, geverifieerd door reviews

Kwaliteit die je kunt vertrouwen: geschreven door studenten die slaagden en beoordeeld door anderen die dit document gebruikten.

Niet tevreden? Kies een ander document

Geen zorgen! Je kunt voor hetzelfde geld direct een ander document kiezen dat beter past bij wat je zoekt.

Betaal zoals je wilt, start meteen met leren

Geen abonnement, geen verplichtingen. Betaal zoals je gewend bent via iDeal of creditcard en download je PDF-document meteen.

Student with book image

“Gekocht, gedownload en geslaagd. Zo makkelijk kan het dus zijn.”

Alisha Student

Bezig met je bronvermelding?

Maak nauwkeurige citaten in APA, MLA en Harvard met onze gratis bronnengenerator.

Bezig met je bronvermelding?

Veelgestelde vragen